Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us
Mafuriko yalivyoua wanane wa familia moja
WANANCHI NEWS

Mafuriko yalivyoua wanane wa familia moja

MUKSININovember 25, 2024

Tarime. Miili ya watu wanane kati ya tisa wa familia moja waliofariki dunia kwa kusombwa na maji imeopolewa,  huku jitihada…

Mtoto aliyekatishwa masomo ili aolewe ajeruhiwa
WANANCHI NEWS

Mtoto aliyekatishwa masomo ili aolewe ajeruhiwa

MUKSININovember 25, 2024

Arusha. Mtoto wa miaka 16 (jina limehifadhiwa) kutoka wilayani Monduli, Mkoa wa Arusha, amenusurika kifo baada ya kufanyiwa ukatili wa…

Mahakama yamkuta na kesi ya kujibu Chuma cha Chuma, mwenyewe ajitetea
WANANCHI NEWS

Mahakama yamkuta na kesi ya kujibu Chuma cha Chuma, mwenyewe ajitetea

MUKSININovember 25, 2024

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemkuta na kesi ya kujibu raia wa Burundi Ferdnand Ndikuriyo (27) maarufu…

Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza
SWAHILI NEWS

Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza

MUKSININovember 25, 2024

Leo tarehe Novemba 25 ni Siku ya Kimataifa ya Kupiga Marufuku Ukatili dhidi ya Wanawake. Hii ni katika hali ambayo…

Polisi Songwe yamalizana na Mdude, yamhamishia Mbeya
WANANCHI NEWS

Polisi Songwe yamalizana na Mdude, yamhamishia Mbeya

MUKSININovember 25, 2024

Songwe. Wakati Jeshi la Polisi mkoani hapa likimaliza mahojiano na Mdude Nyagali, mwanaharakati huyo amepelekwa tena mikononi mwa jeshi hilo…

Imam Khamenei: Netanyahu ahukumiwe kifo, hukumu ya ICC ya kukamatwa mhalifu huyo wa vita haitoshi
SWAHILI NEWS

Imam Khamenei: Netanyahu ahukumiwe kifo, hukumu ya ICC ya kukamatwa mhalifu huyo wa vita haitoshi

MUKSININovember 25, 2024

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa wito wa kuhukumiwa kifo Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambaye…

Wanajeshi wa Kizayuni washambulia maeneo mbalimbali katika Ukingo wa Magharibi
SWAHILI NEWS

Wanajeshi wa Kizayuni washambulia maeneo mbalimbali katika Ukingo wa Magharibi

MUKSININovember 25, 2024

Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine tena wameshambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto…

Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli

MUKSININovember 25, 2024

Polisi katika mji wa Lilongwe nchini Malawi leo Jumatatu wametumia gesi ya kutoa machozi kutawanya umati wa waandamanaji waliotaka kujiuzulu…

Waziri wa Mafuta: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina changamoto yoyote katika kuuza mafuta nje ya nchi
SWAHILI NEWS

Waziri wa Mafuta: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina changamoto yoyote katika kuuza mafuta nje ya nchi

MUKSININovember 25, 2024

Waziri wa Mafuta wa Iran amesema kuwa Iran haina tatizo lolote katika uga wa kuuza na kusafirisha mafuta nje ya…

Mkuu wa hospitali ya Gaza aliyejeruhiwa aomba msaada huku Israel ikitekeleza maangamizi
SWAHILI NEWS

Mkuu wa hospitali ya Gaza aliyejeruhiwa aomba msaada huku Israel ikitekeleza maangamizi

MUKSININovember 25, 2024

Mkurugenzi wa hospitali ya Gaza ambayo imezingirwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito kwa jamii ya…

Aliyemuua mtoto wa miaka saba naye kunyongwa
WANANCHI NEWS

Aliyemuua mtoto wa miaka saba naye kunyongwa

MUKSININovember 25, 2024

Biharamulo. Yalikuwa mauaji ya kikatili, ndio maelezo pekee unaweza kuyatumia kuelezea kitendo kilichofanywa na  Pius Maliseri, cha kumghilibu mtoto Suzana…

Nyumba za kupanga Dar zatajwa kuwa maghala ya dawa za kulevya
WANANCHI NEWS

Nyumba za kupanga Dar zatajwa kuwa maghala ya dawa za kulevya

MUKSININovember 25, 2024

Dar es Salaam. Watu saba wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na kilo 2,207.56 za aina mbalimbali…

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran aahidi uungaji mkono endelevu kwa Muqawama
SWAHILI NEWS

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran aahidi uungaji mkono endelevu kwa Muqawama

MUKSININovember 25, 2024

Israel imefikia katika hali ya mkwamo, na Jamhuri ya Kiislamu itaendelea daima kuunga mkono mapambano halali na ya haki dhidi ya…

Wakopaji wanaodhalilishwa mitandaoni wapewa mbinu
WANANCHI NEWS

Wakopaji wanaodhalilishwa mitandaoni wapewa mbinu

MUKSININovember 25, 2024

Dodoma. Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imewataka watu wanaomba mikopo kidijitali, kusoma maelekezo vizuri ili kuepuka kuruhusu kampuni…

Watu tisa wa familia moja wafariki dunia kwa kusombwa na mafuriko Tarime
WANANCHI NEWS

Watu tisa wa familia moja wafariki dunia kwa kusombwa na mafuriko Tarime

MUKSININovember 25, 2024

Watu tisa wa familia moja wamefariki dunia baada ya nyumba walizokuwa wakiishi kusombwa na maji baada ya mto uliopo jirani…

Watu nane wa familia moja wafariki dunia kwa kusombwa na mafuriko Tarime
WANANCHI NEWS

Watu nane wa familia moja wafariki dunia kwa kusombwa na mafuriko Tarime

MUKSININovember 25, 2024

Watu nane wa familia moja wamefariki dunia na mmoja hajulikani alipo baada ya nyumba walizokuwa wakiishi kusombwa na maji baada ya…

Usiyoyajua kwenye albamu ya Kendrick Lamar
WANANCHI NEWS

Usiyoyajua kwenye albamu ya Kendrick Lamar

MUKSININovember 25, 2024

Marekani. Novemba 22, 2024 msanii wa rap kutokea nchini Marekani Kendrick Lamar  aliwashtukiza mashabiki wake kwa kuachia albamu yake ya…

CAF yawapunguza nguvu wapinzani wa Yanga
WANANCHI NEWS

CAF yawapunguza nguvu wapinzani wa Yanga

MUKSININovember 25, 2024

Dar es Salaam. Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), kupitia Kamati ya Nidhamu, limechukua hatua kali dhidi ya wapinzani wa…

Hivi ndivyo Diamond alivyompa mchongo Dr Almas 
WANANCHI NEWS

Hivi ndivyo Diamond alivyompa mchongo Dr Almas 

MUKSININovember 25, 2024

Dar es Salaam. Bongo Fleva na Bongo Movie ni tasnia zinazofanya kazi kwa kushirikiana nchini, kutokana na muingiliano wa baadhi…

Twiga Stars inahitaji maandalizi WAFCON
WANANCHI NEWS

Twiga Stars inahitaji maandalizi WAFCON

MUKSININovember 25, 2024

Juzi Ijumaa, timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ ilifahamu kundi na wapinzani wake katika fainali za mataifa…

Fadlu ataja mbinu za kuimaliza Bravos
WANANCHI NEWS

Fadlu ataja mbinu za kuimaliza Bravos

MUKSININovember 25, 2024

Dar es Salaam. Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema mashabiki wa timu hiyo watarajie mchezo mzuri wa kwanza wa…

Iran yakanusha madai ya kuhusika katika mauaji ya kuhani wa Israel huko Abu Dhabi
SWAHILI NEWS

Iran yakanusha madai ya kuhusika katika mauaji ya kuhani wa Israel huko Abu Dhabi

MUKSININovember 25, 2024

Ubalozi wa Iran mjini Abu Dhabi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umepinga madai ya kuhusika kwa namna yoyote…

Iran: Dunia isimame kutetea wanawake wa Kipalestina
SWAHILI NEWS

Iran: Dunia isimame kutetea wanawake wa Kipalestina

MUKSININovember 25, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma ujumbe katika mtandao wa kijamii wa X kwa mnasaba wa…

Hizbullah yashambulia vituo vya Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora
SWAHILI NEWS

Hizbullah yashambulia vituo vya Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora

MUKSININovember 25, 2024

Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefanya mashambulizi makubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israel, ikilenga maeneo…

Naibu rais aliyetimuliwa Kenya aishambulia serikali ya Rais Ruto, asema haisikilizi vilio vya watu
SWAHILI NEWS

Naibu rais aliyetimuliwa Kenya aishambulia serikali ya Rais Ruto, asema haisikilizi vilio vya watu

MUKSININovember 25, 2024

Naibu Rais wa Kenya aliyeng’olewa madarakani, Rigathi Gachagua, ameishambulia serikari ya bosi wake wa zamani, Rais William Ruto, akisema imeziba…

Medvedev aonya: Kombora la Oreshnik linaweza kusababisha uharibifu Magharibi kwa dakika chache
SWAHILI NEWS

Medvedev aonya: Kombora la Oreshnik linaweza kusababisha uharibifu Magharibi kwa dakika chache

MUKSININovember 25, 2024

Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Russia, amesema kwamba kombora la nchi hiyo la “Oreshnik” linaweza kusababisha uharibifu mkubwa…

Sami Abu Zuhri: Gaza itasalia kuwa ardhi ya Palestina
SWAHILI NEWS

Sami Abu Zuhri: Gaza itasalia kuwa ardhi ya Palestina

MUKSININovember 25, 2024

Kiongozi wa ngazi za juu wa harakati ya Hamas amesema: “Utawala ghasiibu wa Israel una dhana kwamba unaweza kufikia malengo…

MZEE WA FACT: Huu ndiyo wakati wa kujua uwanja wa Fainali Shirikisho
WANANCHI NEWS

MZEE WA FACT: Huu ndiyo wakati wa kujua uwanja wa Fainali Shirikisho

MUKSININovember 25, 2024

Msimu wa kumi wa Kombe la Shirikisho la CRDB upo kwenye hatua ya awali kabisa na tayari droo ya raundi…

Caren Simba aweka wazi kuhusu Pacome, Aucho
WANANCHI NEWS

Caren Simba aweka wazi kuhusu Pacome, Aucho

MUKSININovember 25, 2024

Msanii anayefanya vizuri kwenye Bongo Movie na ambaye pia ni video vixen, Caren Simba amefunguka madai ya kuhusishwa kimapenzi na nyota…

Yanga, Simba katika mitihani tofauti CAF
WANANCHI NEWS

Yanga, Simba katika mitihani tofauti CAF

MUKSININovember 25, 2024

Dar es Salaam. Yanga na Simba ndiyo wawakilishi pekee kutoka Tanzania waliosalia kwenye michuano ya Caf ngazi ya klabu msimu…

Gachagua kurudi kivingine, atupa kijembe kwa Rais Ruto
WANANCHI NEWS

Gachagua kurudi kivingine, atupa kijembe kwa Rais Ruto

MUKSININovember 25, 2024

Nairobi. Naibu Rais aliyetimuliwa madarakani nchini Kenya, Rigathi Gachagua amedokeza kurejea kwa kishindo kwenye siasa Januari 2025, akisema msuguano wake…

Kukata tamaa kwa utawala wa Kizayuni dhidi ya makundi ya muqawama
SWAHILI NEWS

Kukata tamaa kwa utawala wa Kizayuni dhidi ya makundi ya muqawama

MUKSININovember 25, 2024

Licha ya uungaji mkono wa pande zote wa Ikulu ya White House kwa Tel Aviv, utawala wa Kizayuni hauna uwezo…

Araghchi kushiriki mkutano wa UNAOC nchini Ureno
SWAHILI NEWS

Araghchi kushiriki mkutano wa UNAOC nchini Ureno

MUKSININovember 25, 2024

Abbas Araghchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anatazamia kuelekea nchini Ureno kushiriki katika mkutano wa 10 wa kimataifa…

Venezuela yapongeza misimamo ya Iran kuhusu uingiliaji wa Washington katika masuala ya ndani ya Caracas
SWAHILI NEWS

Venezuela yapongeza misimamo ya Iran kuhusu uingiliaji wa Washington katika masuala ya ndani ya Caracas

MUKSININovember 25, 2024

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Venezuela amepongeza misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na uingiliaji kati…

Russia yakosoa hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA
SWAHILI NEWS

Russia yakosoa hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA

MUKSININovember 25, 2024

Ubalozi wa Russia mjini Tehran umekosoa hatua ya nchi za Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya Wakala…

Wakili Lukwago: Kenya ilihusika kukamatwa Kizza Besigye
SWAHILI NEWS

Wakili Lukwago: Kenya ilihusika kukamatwa Kizza Besigye

MUKSININovember 25, 2024

Wakili wa kiongozi wa upinzani nchini Uganda amesema kuwa, inaonekana mamlaka za Kenya zilihusika pakubwa katika kukamatwa huko Nairobi Kizza…

Uchunguzi wa maoni: Theluthi moja ya vijana Wayahudi wa Marekani wanaiunga mkono Hamas
SWAHILI NEWS

Uchunguzi wa maoni: Theluthi moja ya vijana Wayahudi wa Marekani wanaiunga mkono Hamas

MUKSININovember 25, 2024

Uchunguzi wa maoni wa karibuni uliofanywa na utawala wa Israel umeonyesha kuwa zaidi ya theluthi moja ya vijana Wayahudi wa…

UN yasisitiza kuhitimishwa vita Ukanda wa Gaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

UN yasisitiza kuhitimishwa vita Ukanda wa Gaza na Lebanon

MUKSININovember 25, 2024

Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya Syria ametaka kuhitimishwa vita katika Ukanda wa…

Chaguzi zijazo: Viongozi wa dini watoa onyo, Shoo agusia Sh150 milioni
WANANCHI NEWS

Chaguzi zijazo: Viongozi wa dini watoa onyo, Shoo agusia Sh150 milioni

MUKSININovember 24, 2024

Moshi. Uchaguzi wa serikali za mitaa na  kukamatwa kwa viongozi wa vyama vya upinzani kumewaibua viongozi wa dini, huku Askofu…

Askari polisi afariki dunia kwa kugongwa barabarani
WANANCHI NEWS

Askari polisi afariki dunia kwa kugongwa barabarani

MUKSININovember 24, 2024

Kibaha. Askari Polisi, Austin Kabisana wa Mlandizi, mkoani Pwani amefariki dunia baada ya kugogwa na chombo cha moto wakati akitoka…

Samia atoboa siri mambo yaliyomjenga kwenye uongozi
WANANCHI NEWS

Samia atoboa siri mambo yaliyomjenga kwenye uongozi

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mambo sita aliyopitia katika safari yake ya kisiasa, akisema yamemjenga kiuongozi katika…

Tabora Utd Vs Singida BS kuchezwa kesho saa 4 asubuhi
WANANCHI NEWS

Tabora Utd Vs Singida BS kuchezwa kesho saa 4 asubuhi

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tabora United dhidi ya Singida Black Stars uliokuwa uchezwe leo…

Wawili mbaroni wakidaiwa kuingiza dawa bandia za mifugo nchini
WANANCHI NEWS

Wawili mbaroni wakidaiwa kuingiza dawa bandia za mifugo nchini

MUKSININovember 24, 2024

Songea. Polisi mkoani Ruvuma wanawashikilia watu wawili  akiwamo mfanyabiashara wa dawa za mifugo, Nickson James (29) mkazi wa Mtaa wa…

WANANCHI NEWS

Vigogo wajitosa kampeni uchaguzi serikali za mitaa

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Wakati kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zikiingia siku ya tano leo, vigogo wa vyama mbalimbali…

Sababu wananchi kukata mikoko yaelezwa
WANANCHI NEWS

Sababu wananchi kukata mikoko yaelezwa

MUKSININovember 24, 2024

Unguja. Wakati ripoti ya sensa ya misitu ya mwaka 2013 ikionyesha kiwango cha ukataji wa mikoko na upotevu wa misitu Zanzibar…

Mahakama yampiga ‘stop’ mke wa Sumaye
WANANCHI NEWS

Mahakama yampiga ‘stop’ mke wa Sumaye

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imemsimamisha Esther Fredrick, mke wa Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Fredrick Sumaye kutekeleza tuzo…

Huduma za afya zaanza kuimarishwa maeneo yaliyoathiriwa na tabia nchi
WANANCHI NEWS

Huduma za afya zaanza kuimarishwa maeneo yaliyoathiriwa na tabia nchi

MUKSININovember 24, 2024

Dodoma. Wakati Mkutano wa 29 wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29) ukiendelea mjini Baku, Azerbaijan, taasisi isiyo ya kiserikali ya Elico…

DC Haniu akunwa jitihada za kuwainua wakulima, wafugaji
WANANCHI NEWS

DC Haniu akunwa jitihada za kuwainua wakulima, wafugaji

MUKSININovember 24, 2024

Rungwe. Juhudi zinazoendelea kufanywa na taasisi za fedha nchini kupitia huduma za kibenki zilizobuniwa mahsusi kwa wakulima na wafugaji, ikiwemo…

Zaidi ya wagonjwa 600 wahitaji kupandikizwa ini Muhimbili
WANANCHI NEWS

Zaidi ya wagonjwa 600 wahitaji kupandikizwa ini Muhimbili

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Zaidi ya wagonjwa 600 wanahitaji kupata huduma ya upandikizaji wa ini katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH),…

Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi
SWAHILI NEWS

Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi

MUKSININovember 24, 2024

Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya haki za binadamu huko Palestina amesema kuwa utekelezaji na kushikamana nchi…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us