Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us
HRW: Watoto 10 wauawa katika maandamano ya uchaguzi Msumbiji
SWAHILI NEWS

HRW: Watoto 10 wauawa katika maandamano ya uchaguzi Msumbiji

MUKSININovember 27, 2024

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa askari usalama wa Msumbiji vimewauwa watoto wasiopungua 10…

Ripoti: Watu milioni 35 ni wakimbizi Afrika sababu ya mizozo
SWAHILI NEWS

Ripoti: Watu milioni 35 ni wakimbizi Afrika sababu ya mizozo

MUKSININovember 27, 2024

Ripoti ya waangalizi wa kimataifa iliyotolewa jana Jumanne imesema kwamba mizozo, machafuko na majanga kote barani Afrika yameongeza mara tatu…

Mapigano yashadidi huko El Fashe, Sennar yapokea raia wanaorejea makwao
SWAHILI NEWS

Mapigano yashadidi huko El Fashe, Sennar yapokea raia wanaorejea makwao

MUKSININovember 27, 2024

Mji wa El Fasher, magharibi mwa Sudan, umeshuhudia mapigano kati ya jeshi na Vikosi vya kundi la Msaada wa Haraka…

Kuendelea jinai za magaidi Parachinar, Pakistan
SWAHILI NEWS

Kuendelea jinai za magaidi Parachinar, Pakistan

MUKSININovember 27, 2024

Baada ya shambulio la hivi majuzi la kigaidi dhidi ya Mashia wa Parachinar katika Wilaya ya Kurram nchini Pakistani, mamlaka…

Jumatano, Novemba 27, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatano, Novemba 27, 2024

MUKSININovember 27, 2024

Leo ni Jumatano tarehe 25 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 27 Novemba 2024 Milaadia. Tarehe 27…

Kamati kuchunguza sakata la wanafunzi 15 wanaodaiwa kuchoma moto shule Siha
WANANCHI NEWS

Kamati kuchunguza sakata la wanafunzi 15 wanaodaiwa kuchoma moto shule Siha

MUKSININovember 26, 2024

Moshi. Timu inayochunguza tukio la wanafunzi 15 wa Shule ya Sekondari Sanya Day, Wilaya ya Siha, Mkoa wa Kilimanjaro waliokamatwa…

BoT yatahadharisha mambo matatu uondoshaji wa noti za zamani
WANANCHI NEWS

BoT yatahadharisha mambo matatu uondoshaji wa noti za zamani

MUKSININovember 26, 2024

Dodoma. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetahadharisha mambo matatu kwa benki za biashara na Watanzania wakati wa shughuli ya uondoaji…

Yanga na nuksi ya mechi ya kwanza makundi
WANANCHI NEWS

Yanga na nuksi ya mechi ya kwanza makundi

MUKSININovember 26, 2024

Matokeo ya kufungwa mabao 2-0 nyumbani kutoka kwa Al Hilal kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yameendeleza mkosi ambao Yanga imekuwa…

Polisi yawasaka waliomjeruhi mtoto aliyekatishwa masomo
WANANCHI NEWS

Polisi yawasaka waliomjeruhi mtoto aliyekatishwa masomo

MUKSININovember 26, 2024

Arusha. Polisi mkoani Arusha wameanza msako wa kuwatafuta watuhumiwa waliohusika na tukio la kumshambulia na kumjeruhi mtoto wa kike wa…

Watanzania kutoa hukumu uchaguzi serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

Watanzania kutoa hukumu uchaguzi serikali za mitaa

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Baada ya pilikapilika za kampeni kesho Watanzania watafanya uamuzi wa kuwachagua viongozi wa mitaa, vijiji na vitongoji…

Wanawake wahamasishwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

Wanawake wahamasishwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Wakati saa chache zimesalia kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, wanahakati wa Kituo cha Taarifa na Maarifa…

Samia: Uamuzi wa wananchi kwenye sanduku la kura utaheshimiwa
WANANCHI NEWS

Samia: Uamuzi wa wananchi kwenye sanduku la kura utaheshimiwa

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Wakati kesho Jumatano Novemba 27, 2024 Watanzania wakitarajiwa kupiga kura kuwachagua viongozi wa Serikali za mitaa, vijiji…

Dakika 90 za Yanga ya Ramovic kuchapwa na Al Hilal
WANANCHI NEWS

Dakika 90 za Yanga ya Ramovic kuchapwa na Al Hilal

MUKSININovember 26, 2024

Yanga imeanza vibaya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikifungwa mabao 2-0 nyumbani dhidi ya Al Hilal kwenye…

Wajawazito Uzi, Ng’ambwa wanavyosotea huduma
WANANCHI NEWS

Wajawazito Uzi, Ng’ambwa wanavyosotea huduma

MUKSININovember 26, 2024

Unguja. Licha ya kuwa na kituo cha afya kilichojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), wajawazito wa visiwa vya…

Tigo yabadili tena jina, yaeleza sababu
WANANCHI NEWS

Tigo yabadili tena jina, yaeleza sababu

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Chapa ya kampuni ya huduma za simu ya Tigo Tanzania imebadilishwa  na sasa itakujulikana kwaa jina la…

Ruvuma kinara upimaji VVU nchini
WANANCHI NEWS

Ruvuma kinara upimaji VVU nchini

MUKSININovember 26, 2024

Songea. Mkuu wa Programu wa Wizara ya Afya, Dk Catherine Joachim amesema takwimu zinaonesha Mkoa wa Ruvuma ni kinara katika…

Mwenyekiti Chadema Kilimanjaro aachiwa kwa dhamana
WANANCHI NEWS

Mwenyekiti Chadema Kilimanjaro aachiwa kwa dhamana

MUKSININovember 26, 2024

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja ameachiwa kwa dhamana. Mgonja alikamatwa na…

Iran mhanga mkubwa zaidi wa silaha za kemikali
SWAHILI NEWS

Iran mhanga mkubwa zaidi wa silaha za kemikali

MUKSININovember 26, 2024

Katika mkutano wa 29 wa mwaka wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Silaha za Kemikali (CWC) huko The Hague, nchi…

‘Watumishi wa umma jitokezeni kupiga kura kuchagua viongozi bora’
WANANCHI NEWS

‘Watumishi wa umma jitokezeni kupiga kura kuchagua viongozi bora’

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  George Simbachawene amewasisitiza…

AG, Bakwata, Msajili wa Jumuiya za Kidini wawaweka pingamizi kesi ya Kikatiba
WANANCHI NEWS

AG, Bakwata, Msajili wa Jumuiya za Kidini wawaweka pingamizi kesi ya Kikatiba

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Msajili wa Jumuiya za Kidini na Vyama vya Kijamii, Kabidhi Wasihi Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG),…

Mrusi aliyehukumiwa kwa kuchoma nakala ya Quran, afungwa miaka 4 jela kwa kosa la uhaini
SWAHILI NEWS

Mrusi aliyehukumiwa kwa kuchoma nakala ya Quran, afungwa miaka 4 jela kwa kosa la uhaini

MUKSININovember 26, 2024

Mwanaume mmoja raia wa Russia aliyepatikana na hatia mapema mwaka huu kwa kuchoma moto nakala ya kitabu kitakatifu cha Waislamu,…

Waliofariki kwa mafuriko kuzikwa Novemba 28
WANANCHI NEWS

Waliofariki kwa mafuriko kuzikwa Novemba 28

MUKSININovember 26, 2024

Tarime. Wakati Serikali ikijitayarisha kwa maziko ya watu wanane wa familia moja waliofariki dunia kwa kusombwa na maji wilayani Tarime,…

Jenerali Baqeri: Majibu ya Iran kwa uvamizi wa Israel yatakuwa ‘zaidi ya inavyodhaniwa’
SWAHILI NEWS

Jenerali Baqeri: Majibu ya Iran kwa uvamizi wa Israel yatakuwa ‘zaidi ya inavyodhaniwa’

MUKSININovember 26, 2024

Kamanda wa ngazi ya juu zaidi wa kijeshi nchini Iran amesema kuwa Majeshi ya Iran yameandaa jibu kali kwa shambulio…

Hemmati: Iran imeimarika katika mfumo mpya wa dunia
SWAHILI NEWS

Hemmati: Iran imeimarika katika mfumo mpya wa dunia

MUKSININovember 26, 2024

Waziri wa Masuala ya Kiuchumi na Fedha wa Iran amesema kuongezeka kwa uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu katika mfumo mpya…

Afrika Kusini yasisitiza kuhusu kuchukuliwa hatua za kimataifa kupigania uhuru wa Palestina
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini yasisitiza kuhusu kuchukuliwa hatua za kimataifa kupigania uhuru wa Palestina

MUKSININovember 26, 2024

Afrika Kusini Jumatatu ilisisitiza wito wake wa kusitishwa mapigano mara moja huko Palestina na Lebanon na kuanzishwa kwa mchakato wa…

Aliyekuwa kocha wa Simba afikisha siku 736 rumande bila upelelezi kukamilika
WANANCHI NEWS

Aliyekuwa kocha wa Simba afikisha siku 736 rumande bila upelelezi kukamilika

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Saalam. Aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya soka ya mpira wa miguu, Simba Sport Club, Muharami Sultani…

Uchaguzi mkuu kufanyika Namibia Jumatano, uwezekano wa rais mwanamke
SWAHILI NEWS

Uchaguzi mkuu kufanyika Namibia Jumatano, uwezekano wa rais mwanamke

MUKSININovember 26, 2024

Raia wa Namibia watapiga kura siku ya Jumatano kumchagua rais mpya na wabunge wa Bunge la Kitaifa katika kinyang’anyiro ambacho…

Bara la Afrika laongoza katika mauaji ya wanawake duniani
SWAHILI NEWS

Bara la Afrika laongoza katika mauaji ya wanawake duniani

MUKSININovember 26, 2024

Imebainika kuwa wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa watu wa karibu,…

WANANCHI NEWS

Mgombea Chadema adaiwa kutekwa, Polisi yaanza ufuatiliaji

MUKSININovember 26, 2024

Mwanza. Ikiwa imebaki siku moja kufanyika uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai kuwa mgombea…

WANANCHI NEWS

VIDEO: Miili mingine tisa yapatikana Kariakoo, vifo vyafikia 29

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Idadi ya vifo vilivyotokana na kuporomoka kwa jengo la ghorofa, Kariakoo jijini Dar es Salaam vimefikia 29,…

62 mbaroni kwa tuhuma za wizi, uhamiaji haramu Shinyanga
WANANCHI NEWS

62 mbaroni kwa tuhuma za wizi, uhamiaji haramu Shinyanga

MUKSININovember 26, 2024

Shinyanga. Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewakamata watu 62 wakiwamo raia saba wa Burundi kwa kuingia nchini bila kibali…

Hospitali yakabiliwa na upungufu wa magari ya wagonjwa
WANANCHI NEWS

Hospitali yakabiliwa na upungufu wa magari ya wagonjwa

MUKSININovember 26, 2024

Musoma. Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere inakabiliwa na upungufu wa magari mawili ya…

Usiyoyajua kuhusu mwanamuziki Barnaba
WANANCHI NEWS

Usiyoyajua kuhusu mwanamuziki Barnaba

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Katika miaka yake zaidi ya 18 katika muziki, Barnaba amekuwa akisifika kwa utunzi mzuri na uimbaji wenye kushawishi…

VIDEO: Kesi ya Mdude yakwama, kusikilizwa Novemba 28
WANANCHI NEWS

VIDEO: Kesi ya Mdude yakwama, kusikilizwa Novemba 28

MUKSININovember 26, 2024

Mbeya. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imeahirisha shauri la kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude…

Ibenge amvuta kocha Tabora United
WANANCHI NEWS

Ibenge amvuta kocha Tabora United

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Wakati zikisalia saa chache kabla ya Yanga kushuka Uwanja wa Benjamin Mkapa kupambana na Al Hilal ya…

Iran yasisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati ya kuwakamata Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Iran yasisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati ya kuwakamata Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 26, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati…

Wazayuni wamekithiri kumwaga damu za watoto Ghaza, kila nusu saa mtoto mmoja anakufa shahidi
SWAHILI NEWS

Wazayuni wamekithiri kumwaga damu za watoto Ghaza, kila nusu saa mtoto mmoja anakufa shahidi

MUKSININovember 26, 2024

Kituo cha Habari cha Palestina kimetangaza kuwa, watoto 17,400 wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu yalipoanza mashambulizi ya kinyama ya utawala…

Uefa panawaka moto
WANANCHI NEWS

Uefa panawaka moto

MUKSININovember 26, 2024

London, England. Leo na kesho ni kivumbi cha Ligi ya Mabingwa barani Ulaya ambako rekodi zinatarajiwa kuwekwa katika mechi mbalimbali…

Wafuasi wa Imran Khan watunishiana misuli na Polisi ya Pakistan wakiandamana kuelekea Islamabad
SWAHILI NEWS

Wafuasi wa Imran Khan watunishiana misuli na Polisi ya Pakistan wakiandamana kuelekea Islamabad

MUKSININovember 26, 2024

Maelfu ya waandamanaji wanaotaka kuachiliwa huru waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan anayetumikia kifungo jela wamekaidi vizuizi vya…

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko ‘hatarini’
SWAHILI NEWS

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko ‘hatarini’

MUKSININovember 26, 2024

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya anayemaliza muda wake Josep Borrell ametoa indhari kuwa mustakabali wa umoja…

Licha ya kutolewa waranti wa kumkamata, Gallant apanga safari ya kutembelea Marekani
SWAHILI NEWS

Licha ya kutolewa waranti wa kumkamata, Gallant apanga safari ya kutembelea Marekani

MUKSININovember 26, 2024

Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Yoav Gallant anapanga kusafiri kuelekea Marekani licha ya Mahakama…

UNICEF: Kutumiwa watoto kama askari kwenye magenge yenye silaha Haiti kumeongezeka kwa 70%
SWAHILI NEWS

UNICEF: Kutumiwa watoto kama askari kwenye magenge yenye silaha Haiti kumeongezeka kwa 70%

MUKSININovember 26, 2024

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetangaza kuwa, idadi ya watoto wanaoandikishwa katika makundi yenye silaha nchini…

Kwanini muhimu mwalimu kujua Akili Mnemba
WANANCHI NEWS

Kwanini muhimu mwalimu kujua Akili Mnemba

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. “Naifahamu na nimekuwa naitumia, inarahisisha kuandika insha, yaani ukiwa na swali lako unaandika tu kwa haraka inakujibu.…

WANANCHI NEWS

Rekodi zaibeba Yanga Kwa Mkapa

MUKSININovember 26, 2024

Yanga inaingia Uwanja wa Mkapa leo kuvaana na Al Hilal ya Sudan, huku ikiwa na rekodi bora zaidi kwenye michezo…

Likizo imekaribia, kila mzazi akumbuke haya
WANANCHI NEWS

Likizo imekaribia, kila mzazi akumbuke haya

MUKSININovember 26, 2024

Mwisho wa mwaka umekaribia na shule zinatarajiwa kufungwa kwa mapumziko ya likizo ya mwaka. Ingawa likizo ni wakati wa kupumzika,…

Elimu ihamasishe wanafunzi watambue vipaji
WANANCHI NEWS

Elimu ihamasishe wanafunzi watambue vipaji

MUKSININovember 26, 2024

Tuanze tafakari ya leo na maneno ya busara ya Farrah Gray, Mmarekani mfanyabiashara maarufu, mwenye asili ya Afrika, aliyeandika: ‘’Jenga…

Tanzania ilivyojiandaa kwa teknolojia ya Akili Mnemba kwenye elimu
WANANCHI NEWS

Tanzania ilivyojiandaa kwa teknolojia ya Akili Mnemba kwenye elimu

MUKSININovember 26, 2024

Moshi. Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Serikali imejipanga kutoa mafunzo ya teknolojia ya Akili Mnemba…

Hii ndiyo misingi waliyowekeana Paula na Marioo kwenye penzi lao
WANANCHI NEWS

Hii ndiyo misingi waliyowekeana Paula na Marioo kwenye penzi lao

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Mwanamuziki wa Bongo Fleva Marioo amesema yeye na mzazi mwenzie Paula Paul ni watu wanaoaminiana ndiyo maana…

Polisi Kilimanjaro yakiri kumshikilia Mwenyekiti Chadema mkoa
WANANCHI NEWS

Polisi Kilimanjaro yakiri kumshikilia Mwenyekiti Chadema mkoa

MUKSININovember 26, 2024

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas…

Magenge yenye silaha yauwa watu 30 katika muda wa siku 3 huko Benue, Nigeria
SWAHILI NEWS

Magenge yenye silaha yauwa watu 30 katika muda wa siku 3 huko Benue, Nigeria

MUKSININovember 26, 2024

Watu wasiopungua 30 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulizi ya magenge yenye silaha yaliyojiri kwa muda wa siku tatu…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us