Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us
HADITHI: Bomu Mkononi – 27
MICHEZO

HADITHI: Bomu Mkononi – 27

MUKSINIFebruary 7, 2025

“NDIO dada.” “Ukishakata simu nipigie tena. Nikipokea uniambie ninaitwa, shangazi amezidiwa. Umesikia?” “Sawa. Nitakupigia.” Simu ikakatwa. Nikatoka maliwatoni na kurudi…

HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki – 2
MICHEZO

HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki – 2

MUKSINIFebruary 7, 2025

MMOJA wa maafisa usalama aliyekuwa kiwanjani hapo alimwambia Temba, msichana mwenye jina la Myra alipokewa na watu wawili na kupakiwa…

HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki – 1
MICHEZO

HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki – 1

MUKSINIFebruary 7, 2025

MAGARI mawili aina ya Buty ya rangi nyeusi yalikuwa yakielekea kiwanja cha ndege kumpokea mgeni wa shani kutoka Ethiopia, Myra…

HADITHI: Bomu Mkononi – 26
MICHEZO

HADITHI: Bomu Mkononi – 26

MUKSINIFebruary 3, 2025

ATAJUA mwenyewe. “Halafu wewe utarudi saa ngapi?” “Atakapokuja nenda jikoni unipigie simu. Umenielewa?’ “Sawa.” Nikatoka. Nilipanda teksi nikaenda Ilala kwa…

HADITHI: Bomu Mkononi – 25
MICHEZO

HADITHI: Bomu Mkononi – 25

MUKSINIFebruary 3, 2025

ASUBUHI ya siku iliyofuata, Sele akanipigia simu kunijulisha kuwa alikuwa ameshaondoka. “Haya, safari njema,” nikamwambia. “Nikifika nitakufahamisha.” “Poa.” Jua lilikuwa…

WANANCHI NEWS

BENKI YA DUNIA YAIPATIA TANZANIA SHILINGI BILIONI 248 KUSAIDIA MAENDELEO YA WANAWAKE NA KUKABILIANA NA UKATILI WA KIJINSIA

December 12, 2024

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), (katikati) na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia – Tanzania, Bw.…

Haya hapa mafanikio ya kudhibiti mfumuko wa bei Tanzania
WANANCHI NEWS

Haya hapa mafanikio ya kudhibiti mfumuko wa bei Tanzania

MUKSININovember 28, 2024

Katika ulimwengu wa uchumi wenye mabadiliko yasiyotabirika, Tanzania imefanikiwa kwa jambo la kipekee, imeweza kudhibiti mfumuko wa bei kwa kiwango…

Wakati wa kupanga usisahau mipango midogo ya kifedha
WANANCHI NEWS

Wakati wa kupanga usisahau mipango midogo ya kifedha

MUKSININovember 28, 2024

Mzee Hamisi alikuwa mwajiriwa katika wizara moja nyeti ya Serikali. Akiwa mtumishi mwandamizi na mkuu wa kitengo, mzee Hamisi alikuwa…

Ya kuzingatia wakati na kabla kukopa
WANANCHI NEWS

Ya kuzingatia wakati na kabla kukopa

MUKSININovember 28, 2024

Kukopa ni uamuzi muhimu sana katika maisha ya mtu, hasa anapotaka kukuza biashara au mradi wake. Hata hivyo, kabla ya…

Kilichojificha utoroshaji dhahabu, athari zake kiuchumi
WANANCHI NEWS

Kilichojificha utoroshaji dhahabu, athari zake kiuchumi

MUKSININovember 28, 2024

Kutokuwepo kwa uwiano wa kodi kati ya Tanzania na nchi jirani kunatajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazosababisha mazingira yasiyo sawa,…

Safari ya ujasiri, mabadiliko kupinga ukeketaji -2
WANANCHI NEWS

Safari ya ujasiri, mabadiliko kupinga ukeketaji -2

MUKSININovember 28, 2024

Arusha. Kuna nyakati ni ngumu kutambua ubaya wa jambo linalofanyika kwa wakati huo kutokana na madhara yake kuchukua muda mrefu.…

Amorim katika mtihani wa Europa League
WANANCHI NEWS

Amorim katika mtihani wa Europa League

MUKSININovember 28, 2024

MANCHESTER, ENGLAND: Leo itakuwa ni mwendelezo wa michuano ya Europa League ambapo kocha wa Manchester United, Ruben Amorim atakuwa na mtihani…

Mawakala CCM, Chadema wakimbia na maboksi ya kura Nzega
WANANCHI NEWS

Mawakala CCM, Chadema wakimbia na maboksi ya kura Nzega

MUKSININovember 27, 2024

Tabora. Mawakala wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Bukene na Wakala wa Chama Cha mapinduzi (CCM)…

Mchengerwa: Uchaguzi umekwenda vizuri, matokeo ya jumla kesho
WANANCHI NEWS

Mchengerwa: Uchaguzi umekwenda vizuri, matokeo ya jumla kesho

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amesema…

Polisi washikilia wanne vurugu za uchaguzi Tanga
WANANCHI NEWS

Polisi washikilia wanne vurugu za uchaguzi Tanga

MUKSININovember 27, 2024

Tanga. Watu wanne wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakidaiwa kufanya vurugu kwenye vituo vya kupigia kura kwenye Wilaya…

Mgombea Chadema Dar adaiwa kuuawa, Polisi yasema amefariki kwa ‘Presha’
WANANCHI NEWS

Mgombea Chadema Dar adaiwa kuuawa, Polisi yasema amefariki kwa ‘Presha’

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Wakati Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akidai mgombea ujumbe wa chama chake Mtaa wa Ulongoni A,…

Makada wa Chadema mbaroni madai kukimbia na boksi la kura, wakana
WANANCHI NEWS

Makada wa Chadema mbaroni madai kukimbia na boksi la kura, wakana

MUKSININovember 27, 2024

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata watu wanne wakiwemo mawakala wawili wa Chadema na mgombea uenyekiti wa chama…

Wenye nyumba wanavyoweza kuepuka jinai kwa makosa ya wapangaji
WANANCHI NEWS

Wenye nyumba wanavyoweza kuepuka jinai kwa makosa ya wapangaji

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Onyo la Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) kwa wamiliki wa nyumba…

Samia amteua Profesa Mwakyusa kuwa mkuu wa Muhas
WANANCHI NEWS

Samia amteua Profesa Mwakyusa kuwa mkuu wa Muhas

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wa umma akiwemo Profesa David Mwakyusa aliyeteuliwa kuwa…

Mahakama yaelezwa magunia 10 ya bangi yalivyosafirishwa, kuuzwa Dar
WANANCHI NEWS

Mahakama yaelezwa magunia 10 ya bangi yalivyosafirishwa, kuuzwa Dar

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imelezwa jinsi dereva, Peter Mdegela alivyokutwa na magunia 10 ya bangi ndani…

Sh17 bilioni zakusanywa kodi ya miamala ya simu
WANANCHI NEWS

Sh17 bilioni zakusanywa kodi ya miamala ya simu

MUKSININovember 27, 2024

Unguja. Katika kipindi cha miaka miwili 2022/23 na 2023/24 Sh17.985 bilioni zimekusanywa Zanzibar katika kodi ya miamala ya simu. Kiwango…

Wasemavyo wapiga kura Mkoa wa Kilimanjaro
WANANCHI NEWS

Wasemavyo wapiga kura Mkoa wa Kilimanjaro

MUKSININovember 27, 2024

Kilimanjaro. Wakati kazi ya kupiga kura ikiwa imemalizika katika vituo vya kupigia kura Mkoani Kilimanjaro na maeneo mengi nchini, baadhi…

Sheria ya madini kuchochea uchumi Zanzibar
WANANCHI NEWS

Sheria ya madini kuchochea uchumi Zanzibar

MUKSININovember 27, 2024

Unguja. Wizara ya Maji, Nishati na Madini Zanzibar, imeanza maandalizi ya sheria mpya ya madini ikiwa ni mkakati wa kusimamia…

Kiongozi Chadema alalama wapigakura wasio sahihi kupiga kura
WANANCHI NEWS

Kiongozi Chadema alalama wapigakura wasio sahihi kupiga kura

MUKSININovember 27, 2024

Dodoma. Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dodoma, Aisha Madoga amesimamisha kwa muda shughuli za uchaguzi…

S2Kizzy kutoka kwa Country Boy hadi kumfikia Diamond
WANANCHI NEWS

S2Kizzy kutoka kwa Country Boy hadi kumfikia Diamond

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Saalam. Namna ambavyo muziki wa Bongo Fleva unavyozidi kupaa. Nyuma yake kuna kazi kubwa ya maproduza wanaofanya vizuri…

Universal Pictures yatoa ufafanuzi sakata la Ariana na Cynthia
WANANCHI NEWS

Universal Pictures yatoa ufafanuzi sakata la Ariana na Cynthia

MUKSININovember 27, 2024

Marekani. Kampuni ya uzalishaji na usambazaji wa filamu nchini Marekani ‘Universal Pictures’ imetoa tamko kuhusiana na minong’ono ya mashabiki kupitia…

Wasota kwa saa nne kusubiri karatasi za kupigia kura
WANANCHI NEWS

Wasota kwa saa nne kusubiri karatasi za kupigia kura

MUKSININovember 27, 2024

Malinyi. Baadhi ya wananchi walijitokeza kupiga kura katika kituo cha Makerere, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi, mkoani Morogoro, wamelazimika kusubiri…

Ummy, madaktari wamlilia Dk Ndugulile
WANANCHI NEWS

Ummy, madaktari wamlilia Dk Ndugulile

MUKSININovember 27, 2024

Dar/ Moshi. Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu, aliyekuwa Waziri wa Afya na Dk Faustine Ndugulile akiwa naibu wake amesema…

Chadema walalamikia mawakala wao kuzuiwa vituoni
WANANCHI NEWS

Chadema walalamikia mawakala wao kuzuiwa vituoni

MUKSININovember 27, 2024

Arusha. Wakati kazi ya upigaji kura ikielekea ukingoni, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimelalamikia mawakala wao kuzuiwa kuingia katika…

Tanga wachekelea kuongezeka vituo vya kupigia kura, wakwepa foleni
WANANCHI NEWS

Tanga wachekelea kuongezeka vituo vya kupigia kura, wakwepa foleni

MUKSININovember 27, 2024

Tanga. Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Tanga wameipongeza Serikali kwa kuongeza idadi ya vituo vya kupigia kura, wakisema hatua…

Mgombea wa Chadema auawa, askari Magereza mbaroni
WANANCHI NEWS

Mgombea wa Chadema auawa, askari Magereza mbaroni

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Mgombea uenyekiti wa Kitongoji cha Stand katika Jimbo la Manyoni Mashariki mkoani Singida kwa tiketi ya Chadema,…

Mvua yatajwa kuharibu orodha ya wapigakura Mwanza, wahaha kupiga kura
WANANCHI NEWS

Mvua yatajwa kuharibu orodha ya wapigakura Mwanza, wahaha kupiga kura

MUKSININovember 27, 2024

Mwanza. Mvua imetajwa kuwa kikwazo kwa baadhi ya wananchi kufika kwenye vituo kwa wakati huku wengine wakidai majina yao kutoonekana…

WANANCHI NEWS

Rais Samia: Masanduku yatakavyosema ndivyo matokeo yatakavyokuwa

MUKSININovember 27, 2024

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amepiga kura kuwachagua viongozi wa serikali ya Kijiji cha Chamwino kilichopo Wilaya ya Chamwino jijini…

Huyu ndiye Dk Faustine Ndungulile
WANANCHI NEWS

Huyu ndiye Dk Faustine Ndungulile

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Dk Faustine Ndugulile alikuwa daktari wa tiba aliyehitimu katika afya ya umma na taaluma ya mikrobiolojia ya tiba.…

WANANCHI NEWS

Upigaji kura waendelea katikati ya malalamiko ya majina kutoonekana, kutopangiliwa

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Changamoto ya wananchi kutoyaona majina yao imeendelea kujitokea katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam, hatua inayosababisha…

Dk Tulia: Dk Ndugulile ametuachia simanzi kubwa
WANANCHI NEWS

Dk Tulia: Dk Ndugulile ametuachia simanzi kubwa

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, amesema kifo cha aliyekuwa Mbunge…

WANANCHI NEWS

Sababu kutobandikwa majina vituo vya wazi

MUKSININovember 27, 2024

Shinyanga. Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Alexius Kagunze, amesema baadhi ya vituo vya wazi ambavyo haviko kwenye…

WANANCHI NEWS

Walalama majina kutosomeka vizuri

MUKSININovember 27, 2024

Musoma. Wakazi wa Manispaa ya Musoma mkoani Mara wanalalamikia majina ya wapiga kura yaliyobandikwa kwenye baadhi ya vituo kutosomeka vizuri.…

Kizungumkuti cha majina kutopangwa kunavyowapa ugumu wapigakura
WANANCHI NEWS

Kizungumkuti cha majina kutopangwa kunavyowapa ugumu wapigakura

MUKSININovember 27, 2024

Mbeya. Pamoja na mchakato wa uchaguzi kuendelea kwa amani jijini hapa, baadhi ya wapiga kura wameeleza changamoto ya majina kutopangwa…

Kauli ya mwisho ya Dk Ndugulile bungeni
WANANCHI NEWS

Kauli ya mwisho ya Dk Ndugulile bungeni

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile, ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 27, 2024,…

Bosi WHO amlilia Dk Ndugulile
WANANCHI NEWS

Bosi WHO amlilia Dk Ndugulile

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Dk Tedros Adhanom Ghebreyesus ameeleza kushtushwa…

WANANCHI NEWS

Wasiojua kusoma, kuandika wasaidiwa kupiga kura

MUKSININovember 27, 2024

 Dodoma. Watu wasiojua kusoma na kuandika wameruhusiwa kusaidiwa kupiga kura na ndugu zao wanaowaamini, huku wazee na watu wenye ulemavu…

Shughuli mbalimbali zasimimama kwa muda Arusha
WANANCHI NEWS

Shughuli mbalimbali zasimimama kwa muda Arusha

MUKSININovember 27, 2024

Arusha. Wakati wananchi wakijitokeza kupiga kura katika maeneo mbalimbali kuchagua viongozi wa serikali za mitaa, baadhi ya shughuli ikiwemo wafanyabiashara…

KONA YA FYATU MFYATUZI: Bomoa mijengo yote ya Kalia Koo
WANANCHI NEWS

KONA YA FYATU MFYATUZI: Bomoa mijengo yote ya Kalia Koo

MUKSININovember 27, 2024

Wapendwa mafyatu na mashabiki wangu, jongea ugani tudurusu na kujadili hii ishu kwa utuo na uzuri. Keibuni sana waghoshi na…

NIKWAMBIE MAMA: Makosa ya muda yasigeuzwe ya misimu
WANANCHI NEWS

NIKWAMBIE MAMA: Makosa ya muda yasigeuzwe ya misimu

MUKSININovember 27, 2024

Tumekwisha kuifikia siku tuliyoisubiri kwa hamu toka siku nyingi zilizopita. Siku ya kuwachagua viongozi wetu wa mtaani watakaoiwakilisha Serikali kuu…

Rais Samia atuma salamu za pole kifo cha Dk Ndugulile
WANANCHI NEWS

Rais Samia atuma salamu za pole kifo cha Dk Ndugulile

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kutokana na kifo cha Dk Faustine Ndugulile, Mbunge wa…

WANANCHI NEWS

Simanjiro wazungumzia hali ya upigaji wa kura uchaguzi

MUKSININovember 27, 2024

 Mirerani. Wakazi wa mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamejitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi wa Serikali za…

WANANCHI NEWS

Wananchi wajitokeza vituoni kupiga kura

MUKSININovember 27, 2024

Dar/Mikoani. Watanzania katika maeneo mbalimbali nchini wamejitokeza kwenye vituo vya kupigia kura kufanya uamuzi kwa kuwachagua viongozi wa mitaa, vijiji…

Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 27, 2024

Maandamano yamefanyika katika miji tofauti ya Uhispania kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni. Maelfu ya watu…

WANANCHI NEWS

BARAZA LA SALIM: Majengo ya Mji Mkongwe bomu linalosubiri kulipuka

MUKSININovember 27, 2024

Watanzania wapo katika majonzi ya kuomboleza maafa yaliyotokea Kariakoo, Dar es Salaam, ya kuporomoka kwa jengo na kuua watu zaidi…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us